LE TEXTE DE LA CHANSON "INAMA" DE FANTASTIKOH EL WEEZYA

LE TEXTE DE LA CHANSON "INAMA" DE FANTASTIKOH EL WEEZYA

Voici le texte de la chanson "INAMA" qui ne reste personne indifférent :

Song title: INAMA

Artist: El Weezya Fantastikoh 

Time: 2min 39

➡️Intro:

This is another one

You know is FantaBoss

Are u ready Congo?

(FantastikoH)

➡️Chorus:

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

➡️1st verse:

Sweety baby usi ni chunguliye

Na gonga mlango uni funguliye

Katoto kazuri uni *ulamiye

Na kupa zangu uni *anuliye

➡️kama commando ni ta ku fatiliya

Ndani ya giza ni ta ku pangiliya 

Pengama shutama ni ta ku ingiliya

Usi jali naby Mimi ni kama ninja

➡️Hook:

Kama nvuwa baby ni nyesheye

Kitandani niku tembezeye

Baby honey tubi koleze

Hata kinywani uni poleze

➡️Chorus:

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

➡️2nd verse:

Sitaki nyama ni chumiye mboga

Ni papase kote usiwe na oga

Ni ite cash money mi nita ku honga

Usi jali biyashara hayata homba

➡️Hata akija wewe ni dada yangu

Tena una fanana shangazi yangu

Ginger, karanga kawaida yangu

Mpaka kesho we ni chakula chungu

➡️Hook

Kama nvuwa baby ni nyesheye

Kitandani niku tembezeye

Baby honey tubi koleze

Hata kinywani uni poleze

➡️Chorus:

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

Inama, InamaX3

➡️Mishka on the beat

El Weezya beats again

Inama Inama inama

(Rire) 

Inama